Published On May 5, 2024
Afueni Ya Kimbunga Pwani
Imekuwa Afueni Kwa Wakaazi Kuhusu Kimbunga Hidaya
Idara Ya Hali Ya Anga Yasema Hatari Yake Imeondoka
Kulikuwa Na Tangazo La Hatari Ya Kimbunga Hidaya
Idadi Ya Waathiriwa Wa Mafuriko Nchini Yafikia 228
Serikali Yasema Watu 9 Zaidi Wamefariki Katika Saa 24
show more